"Rais anakosea Sana kuhusisha suala la Masheikh waliopo ndani na mauaji ya MKIRU. Amewapa maadui silaha. Acha tumalize kwanza suala la miswada ya Madini kwani ni jambo linalotuunganisha. Tukimaliza tutarudi kuzungumza kuhusu Hii kauli ya Rais. 

Umoja na Mshikamano ni silaha ya ushindi." Ameandika kupitia ukurasa wake wa Facebook

Tupia Comments: