Unatamani kumjua njemba yenye ujauzito wa Hamisa Mobetto baada ya Diamond kutolea nje mimba hiyo?
Kupitia kipindi cha XXL, hitmaker wa I Miss You, alikana kuwa mtoto huyo ambaye anatarajiwa kuzaliwa na Hamisa siyo wa kwake na kumtaka mrembo huyo amuweke wazi mwenye mzigo huo ili apunguziwe kunyooshewa vidole.
Mrembo huyo ni kama ameelewa somo hilo kutoka kwa Diamond, kupitia mtandao wa Instagram ameandika ujumbe ambao unaonesha anataka kumtaja mwenye mimba hiyo japo aliishia kati bila ya kumalizia. πŸ‘ΆπŸ½!!!Mama Daa…?.Mama Dee…?.Mama Diiii….?.Mama doo….?.Mama duuh……?❤️,” ameandika Mobetto kwenye picha hiyo hapo chini aliyoiweka kwenye mtandao huo.
Baada ya kuandika hivyo mashabiki walicharuka na kuamua kumalizia jina la baba wa mtoto huyo wenyewe. Hizi ni baadhi ya comment za mashabiki kwenye mtandao huo.
beibdebevy:Mama Diamond πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
dehero_69Mama alikiba πŸ˜‚ hahaha dodo @hamisamobetto
mommy_genius:Mama Danube πŸƒπŸƒπŸƒπŸƒ
kitela_bwoy:Kiki kwa pikipiki @hamisamobetto mond ameikataa mimba πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
june.matenu:Mchokoz wewe acha watu watoe omo chacha
wema_memes:πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ babe bhanaaa….m nachagua Dee
said_khamiss_asahd:Mama dangoteπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
iamdarlen_j:mama Dee chibu D
officialnorine_gal:Mama Dangotee πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ mchokoz wew Missa
Ameongeza kuandika “πŸ‘ΆπŸ½Mama ………?#AngalizoUshauriPelekeniAngaza😏.”

Tupia Comments: