ZITTO AFICHUA SIRI POLISI WALIVYOMTEKA BEN SAANANE

Mbunge wa Nzega mjini, Hussein Bashe leo April 11 2017 amesimama bungeni kuomba taarifa kwa mwenyekiti wa bunge baada ya waziri wa TAMISEMI, George Simbachawene kumtaka mbunge wa Kigoma mjini Zitto Kabwe kuthibitisha tuhuma zake kwamba usalama wa taifa wamekuwa wakiwakamata watu kinyume cha sheria. wasikilize hapa

BOFYA KUANGALIA ILIVYOKUWA>>>>>>>


Tupia Comments: