April 10, 2017 Mkutano wa bunge la saba umeendelea tena Dodoma ambapo wabunge walikuwa wakijadili mapitio ya mapato na matumizi ya fedha za ofisi ya Waziri mkuu na ofisi ya bunge kwa mwaka wa fedha 2017/2018.
Kati ya waliopata nafasi ya kuchangia hoja kwenye wizara ya kilimo na kuchangia hotuba ya waziri mkuu





Tupia Comments: