mwigizaji maarufu nchini kwa jila la “Jackline Wolper” ama unaweza mwita “wolperstylish” ambaye hivi karibuni alikuwa kwenye majonzi mazito baada ya kuachwa na “Harmonize” anayetokea “Wcb”,
Wolper aaibisha sanaa ya “Bongo movie” baada ya kuonekana akiwa na serengeti boy yani mvulana mdogo anayejulikana kwa jina la “BROWN MAUZO””
Stori ilianzia instagramu baada ya post mfululizo kutoka kwa “WOLPER” akiwa na mpenziye huyo na akimficha sura yani kumuonesha nusunusu na kuandika maneno kama my #bff.
Utata ukaibuka baada ya msichana anayekwenda kwa jina la “”sharonnbrown”” na kuandika maneno mazito kwenye comment ya moja ya post za wolper akiwa na huyo boy .
@Sharonnbrown” aliandika “soma comment yenye duara jekundu hapo chini.

Pamoja na hayo yote wolper na brounmauzo wazidi kula raha pasipo kuogopa maneno ya watu.
baadhi ya post za wolper akiwa na boy wake mpya.
1.Hiikutoka instagram ya wolper


Haya hapa maoni ya wadau na mashabiki wa wolper baada ya kuonekana akiwa na serengeti boy mwingine,Fuatana nasi…
Pia jicholauswazi.com tumekusogezea baadhi ya picha za huyu boy mpya wa WOLPERSTYLISH.
Unahisi wolper anafanya haya kwa ajili ya kumkomoa “””HARMONIZE”” au anafanya kwa matakwa yake???
usisahau kutembelea jicholauswazi.com kila siku kwa stori kama hizi

                                                                TAZAMA HII VIDEO


Tupia Comments: