Kaili hiyo aliitowa jana bungeni wakati akiomba muongozo kwa naibu spika wa bunge, Ambapo    aliomba bunge kuahilisha shughuli zake za bunge na kujadili matukio ya utekaji yanayoendelea hapa nchini , Bashe amesisitiza bunge na serikari kutokulifumbia swala hili la utekwaji na kupelekwa kusiko julikana ,
   mbunge huyo pia ameweza kusema kuwa shughuli za utekaji zinafanywa na kikundi kilichopo idara ya usalaama wa Taifa hao ndio waliohusika kumteka "Roma mkatoliki"

                                                  ITAZAME VIDEO


Tupia Comments: